Breaking News

Your Ad Spot

Nov 25, 2012

WAANDISHI WALIOKUWA KATIKA ZIARA YA NDUGU KINANA WAREJEA DAR ES SALAAM

Katibu wa NEC, Itikadi na uenezi, Nape Nnauye na Katibu wa NEC, Oganaizesheni, Mohamed Seif Khatib, wakiwa na maofisa wa Chama na Waandishi wa habari kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere baada ya kuwasili kutoka jijini Arusha kwenye ziara ya kikazi ya  Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana. Huyu wa upande wa kulia unamjua?

1 comment:

  1. huyooo tunamuona kama anachungulia hivi nani uyo ?

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages