Breaking News

Your Ad Spot

Nov 27, 2012

WIZARA YA FEDHA YASAINI MKATABA WA BILIONI 33 NA UHOLANZI


Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Ramadhan Khijjah (kushoto) na Balozi wa Uholanzi nchini Dr. Ad  Koekkoek (kulia) wakibadilishana hati  ya msaada wa shilingi bilioni 33 uliotolewa na Serikali ya Uholanzi kwa Serikali ya Tanzania kwa ajili kuimarisha huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali katika Hospitali 37 hapa nchini. Tanzania nayo inatakiwa kuchangia kiasi kama hicho katika huduma hiyo ili  kuwa asilimia 50 kwa 50 kila pande yaani Tanzania na Uholanzi.Picha na Tiganya Vincent- MAELEZO- Dar es salaam

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages