Breaking News

Your Ad Spot

Nov 23, 2012

ZIARA YA KINANA MKOANI RUKWA

Katibu Mkuu wa CCM, Kanali Mstaafu, Abdulrahman Kinana akipokea saluti ya Chipukuizi wa CCM, wakati wa mapokezi yake kwenye Uwanja wa Ndege wa  Sumbawanga mkoani Rukwa,jana. Wengine ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa Aggry Mwanri ambao wapo katika ziara hiyo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages