POLE BABA: Waziri Mkuu Mizengo Pinda akmjulia hali jana jioni, Baba yake mzazi Mzee Savere Kayanza Pinda ambaye amelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili kitengo cha Moi, Dar es Salaam. Mzee Mizengo yupo hospitalini hapo baada ya kufanyiwa upasuaji kutokana na tatizo la nyonga. Kulia kwa waziri mkuu ni Muguzi wa zamu, Edna Mhina na kushoto kwa waziri mkuu ni Donatila Kwelukila ambaye ni Ofisa uguzi chumba cha wagonjwa mahututi MOI, (Picha na Chris Mfinanga)
Your Ad Spot
Dec 31, 2012
Home
Unlabelled
BABA WA PINDA ALAZWA MUHIMBILI
BABA WA PINDA ALAZWA MUHIMBILI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269