Watu wakiwa kwenye foleni kusubiri lifti kwa ajili ya kwenda ofisi mbalimbali katika jengo la Kitegauchumi cha Shirika la Bima, jijini Dar es salaam leo. Huduma ya lifti kwenye jengo hilo imekuwa hafifu kidogo kutokana na kutumika lifiti moja kutokana na nyingine kuwa kwenye matengenezo. Jengo hilo lina ghorofa zaidi ya kumi.
Your Ad Spot
Jan 21, 2013
Home
Unlabelled
KAMA UTAENDA KATIKA JENGO LA KITEGA UCHUMI KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM LEO
KAMA UTAENDA KATIKA JENGO LA KITEGA UCHUMI KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269