Breaking News

Your Ad Spot

Jan 14, 2013

MKUU WA WILAYA MAGU AFUNGUA KIKAO CHA KAZI CHA WATENDAJI WA SEKTA YA ELIMU WILAYANI HUMO.

MKUU wa Wilaya ya Magu, Jacqueline Liana, akifungua   kikao cha kazi cha watendaji wa sekta ya elimu katika wilaya hiyo  kilichofanyika leo, 14.1.2013,  katika ukumbi wa CCM, Magu Mjini. Kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu, Naomi Nnko na Kulia ni Afisa Elimu wa Halmashauri hiyo, Yesse Kanyuma
 MKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, Naomi Nnko,  akizungumza leo, 14.1.2013,  katika kikao cha kazi  cha watendaji wa sekta ya elimu katika wilaya hiyo. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Magu, Jacqueline
 MKUU wa Wilaya ya Magu, Jacqueline Liana akiteta jambo na Ofisa Elimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, Yesse Kanyuma, wakati wa kikao cha kazi cha watendaji wa sekta ya elimu wilayani humo, kilichofanyika leo katika ukumbi wa CCM Magu Mjini.
 WALIMU wakuu, walimu wakuu wasaidizi na  waratibu wa elimu wa kata, ambao ni watendaji katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, wakiwa katika kikao cha kazi kilichofanyika leo katika ukumbi wa CCM, Magu Mjini,  na kuhudhuriwa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Jacqueline Liana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Naomi Nnko (hawapo pichani).
WALIMU wakuu, walimu wakuu wasaidizi na  waratibu wa elimu wa kata, ambao ni watendaji katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, wakiwa katika kikao cha kazi kilichofanyika  leo katika ukumbi wa CCM, Magu Mjini,  na kuhudhuriwa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Jacqueline Liana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Naomi Nnko (hawapo pichani). (PICHA ZOTE NA EMMENUEL NDEGE)

1 comment:

  1. Have you ever considered publishing an ebook or guest authoring on other
    websites? I have a blog based on the same topics you discuss and would really like
    to have you share some stories/information. I know my audience
    would enjoy your work. If you're even remotely interested, feel free to shoot me an e mail.
    Feel free to surf my website - earn money from home

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages