Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo jioni alijumuika na mamia ya wakazi wa mji wa Bagamoyo katika mazishi ya Alhaji Shekhe Abdallah Masoud Jembe, mmoja wa mashekhe maarufu na mzee wa mji wa Bagamoyo. Pichani Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwetewakiweka udongo katika kaburi wakati wa mazishi hayo yaliyofanyika mjini Bagamoyo leo jioni
Makamu w Rais, Dk. Muhammed Gahrib Bilal akitia udogo wakati wa mazishi hayo
Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba ambaye ni miongoni mwa waliohudhuria msiba huo, akisalimiana na Rais Kikwete msibani
Waombolezaji wakiwa kwenye maziko hayo. Picha na Freddy Maro, Ikulu
Your Ad Spot
Jan 13, 2013
Home
Unlabelled
RAIS KIKWETE NA MAKAMU WA RAIS DK. BILAL WAMZIKA SHEIKH ABDALLAH MASOUD JEMBE MJINI BAGAMOYO
RAIS KIKWETE NA MAKAMU WA RAIS DK. BILAL WAMZIKA SHEIKH ABDALLAH MASOUD JEMBE MJINI BAGAMOYO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269