Breaking News

Your Ad Spot

Feb 24, 2013

AJALI INAPOGEUKA MAAJABU!!!!!!!!



 Naibu meya  wa Manispaa ya Iringa Gravas Ndaki akishangaa ajali ya karne yenye maajabu makubwa kwa mkoa  wa Iringa  ,ajali  iliyotokea  usiku wa leo eneo la Hoteli ya kati (makosa) au CRDB ya  zamani katika barabara ya Iringa -Dodoma,hakuna majeruhi  wala aliyepoteza maisha 
 Askari  wa usalama barabara  nao  washangaa kuona ajali  kama hii katikati ya mji 
 Mmiliki  wa  gari  aina ya  RAV 4 iliyogonga gari na kulipanda juu akiwa haamini  kilichotokea 
 
 Huyu ndie mmiliki wa RAV4 inasadikika ni mfanyakazi  wa Tanroads mkoa  wa Iringa 
 Dereva  wa Taxi yenye namba  za usajili T 510 AYUKelvin Kaduma akiwa  salama kabisa 
Wazungu ambao  ndio  wanatengeneza magari nao  wakifika  kushangaa ajali  hiyo ya maajabu CHANZO: FRANCIS GODWIN BLOG

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages