Breaking News

Your Ad Spot

Mar 2, 2013

SEMINA YA TEKNOLOJIA YA MAWASILIANO NA UTAWALA BORA YAFANYIKA DAR ES SALAAM

 Rais wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya ISACA Tawi la Tanzania, Boniface Kanemba akifafanua jambo wakati wa semina kuhusu teknolojia ya mawasiliano na Utawala Bora vinavyoweza kuchangia maendeleo ya uchumi na kufanyika jijini Dar es Salaam. Semina hiyo iliandaliwa na ISACA Tanzania kwa kushirikiana na Taasisi ya Norway Registers Development. (Picha na Habari Mseto Blog)
 Baadhi ya washiruiki wa Semina hiyo kutoka katika taasisi za Fedha
 Rais wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya ISACA tawi la Tanzania, Boniface Kanemba  akitoa mada katika semina hiyo.
 Washiriki wa semina.
 Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Norway Registers Development (NRD), Jon Birger F Jalestand amkitoa mada katika semina hiyo.

 Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Norway Registers Development (NRD), Jon Birger F Jalestand amkitoa mada katika semina hiyo.
Rais wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya ISACA tawi la Tanzania, Boniface Kanemba akizungumza na waandishi wa habari kuhusu teknolojia ya mawasiliano na Utawala Bora vinavyoweza kuchangia maendeleo ya uchumi na kufanyika jijini Dar es Salaam. Semina hiyo iliandaliwa na ISACA Tanzania kwa kushirikiana na Taasisi ya Norway Registers Development. (NRD)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages