Breaking News

Your Ad Spot

Mar 28, 2013

WIZARA YA AFYA YALISHUKURU SHIRIKA LA WHO KWA MSAADA WA MAMILIONI YA FEDHA

  Naibu Katibu  Mkuu wa  Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Bi. Regina   Kikuli akimshukuru    kwa WHO  baada ya kutoa  magari saba  yaliyotolewa leo (jana) ,na vifaa vingine vyenye thamani ya sh. bilioni 2.4  katika hafla iliyofanyika  jijini Dar es Salaam. katika hafla iliyofanyika  jijini Dar es Salaam. Katika msaada huo magari mengine 22 yatatolewa baade.
Naibu Katibu  Mkuu wa  Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Bi. Regina   Kikuli akitoa hotuba yake ya kushukuru Mwakilishi Mkazi wa Shirika la  Afya Duniani (WHO), Dk. Rufaro Chatora baada ya kutoa  magari saba  yaliyotolewa leo (jana) ,na vifaa vingine vyenye thamani ya sh. bilioni 2.4  katika hafla iliyofanyika  jijini Dar es Salaam. katika hafla iliyofanyika  jijini Dar es Salaam. Katika msaada huo magari mengine 22 yatatolewa baade.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages