Breaking News

Your Ad Spot

Apr 29, 2013

LEMA ATINGA KIZIMBANI LEO


Mbunge wa Arusha, Godbles Lema akiwa katika chumba cha mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Arusha na aliyekua katibu wa Chadema Arusha mjini Derick Magoma kabla ya kusomewa shitaka la uchochezi wa vurugu za wanafunzi wa chuo cha uhasibu jijini Arusha kufuatia  na kifo cha mwanafunzi mwenzao Henry Kago.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages