Breaking News

Your Ad Spot

Apr 13, 2013

MTANDAO WA PR HABARI WAJIKOMBOA, WAPATA GARI LA KITENDEA KAZI


Gari ya Mtandao wa kijamii wa http://prhabari.blogspot.com/  unaongozwa na mwenyekiti Spear Patrick unatarajia kuzindua hivi karibuni  Gari la mtandao huo ambao litakuwa na matangazo mbalimbali ya kazi za kampuni hiyoo
GARI HIYO INAVYO ONEKANA KWA NYUMA


Mwenyekiti wa  Mtandao wa kijamii wa http://prhabari.blogspot.com/  Spear Patrick akionesha moja ya upande uliokua na matangazo hayo

Mafundi wakiendelea kuiremba gari hiyo
Mtandao wa kijamii wa http://prhabari.blogspot.com/

Mwenyekiti wa  Mtandao wa kijamii wa http://prhabari.blogspot.com/  Spear Patrickakiwa amepozi

MKOKO WA Mtandao wa kijamii wa http://prhabari.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages