Breaking News

Your Ad Spot

Apr 9, 2013

PINDA BUNGENI LEO

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozana na Mbunge wa Iramba magharibi,Mwigulu Lameck Nchemba  kutoka kwenye ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma Aprili 9, 2013.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mlkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Viti Maalum, Mkiwa Adam Kimwanga kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma, Aprili 9, 2013.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages