Breaking News

Your Ad Spot

May 21, 2013

RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM, DODOMA LEO

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kufungua na kuendesha kikao cha Kamati Kuu ya CCM, leo katika ukumbi wa Jengo la White House mjini Dodoma. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar), Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar), Philip Mangula.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiendesha kikao hicho cha Kamati Kuu ya CCM, leo mjini Dodoma.
Taswira kwenye kikao hicho cha Kamati Kuu ya CCM.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages