Breaking News

Your Ad Spot

May 4, 2013

WAJUMBE WA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR WAAPISHWA LEO


  Makamu wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na Viongozi waliohudhuria katika sherehe ya kuwaapisha wajumbe wa Tume ya Uchaguzi pamoja na Mwenyekiti wake Ikulu
Mjini Zanzibar leo.]Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Jecha Salim Jecha,kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi. ]Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akimuapisha Ayoub Bakari Hamad, kuwa Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi. ]Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Balozi Omar Ramadhan Mapuri, kuwa Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi. ]Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Nassor Khamis Mohamed, kuwa Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi. ]Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Salmin Senga Salmin, kuwa Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi. ]Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Jaji Abdulhakim Ameir Issa, kuwa Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi. ]Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Haji Ramadhan Haji, kuwa Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi. ]Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Dkt.Idris Muslim Hija, kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi. ]Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wakuu,pia wakiwemo Mwenyekiti wa  Tume ya Uchaguzi ya
Zanzibar,(wa pili kushoto)na wajumbe wa tume hiyo,akiwemo  Mkuu wa Mkoa kusini,(waliosimama kulia)baada ya hafla ya kiapo Ikulu Mjini Zanzibar. ]Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages