Breaking News

Your Ad Spot

Jun 20, 2013

ETI STARS ILIFUNGWA NA IVORY COAST SABABU YA MATUSI YA MASHABIKI UWANJANI?

NA BELINDA KWEKA-MAELEZO 
Wakati Watanzania hususan wapenda kandanda  wakiwa bado wanatafakari kwa machungu kipigo cha mabao 4-2, ilichopata Taifa Stars kutoka kwa Ivory Coast, wadau wengine wameibuka na madai kwamba matusi ya nguoni yanayodaiwa kuhanikizwa na mashabiki wakati wa mechi hiyo ndiyo sababu ya kipigo hicho!

Madai hayo yametolewa leo mchana kweupe na Maaskofu na Wachungaji wa Good News For All Ministry wakati wakizungumza na waandishi wa   habari leo  katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari – MAELEZO  jijini Da res Salaam.
       Askofu Charles Gadi amesema >>> BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages