Breaking News

Your Ad Spot

Jun 28, 2013

MAANDALIZI UZINDUZI KIVUKO CHA Mv CHATO


Fundi akiandaa bango la uzinduzi wa Kivuko cha Mv Chato mkoani Kagera, kama alivyokutwa na mpigapicha wetu eneo la Mnazi Mmoja jijini Dar e3s Salaam, leo. Kwa mujibu wa fundi huyo bango hilo litasafirishwa kwa ndege kwenda huko Chato! Swali tunalojiuliza ni je huko Kagera hakuna wachoraji??????

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages