Breaking News

Your Ad Spot

Jun 7, 2013

MWALIKO MAHAFALI YA MAKADA WA CCM DSM

MWENYEKITI wa makada wa vyuo mkoa wa vyuo wilaya ya Dar es salaam, Ndugu Asenga Abubakar (pichani) anawaalika makada, wapenzi na wa mashabiki wote wa CCM ambao wapo vyuoni kuhudhurua katika mahafali ya kuwaaga wanachama wenzao wanaomaliza vyuo mwaka huu wa 2013 mkoa wa Dar es salaam. Uchukuaji data base ni Jumamosi hii, Juni 8, 2013, katika ukumbi wa Karimjee, kuanzia saa tatuy hadi saa nne asubuhi.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages