Breaking News

Your Ad Spot

Jun 13, 2013

PLAN INTERNATIONAL YATOA MAGARI MANNE


Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dr. Donan Mmbando akiponyeza kitufe cha kingora katika moja ya magari ya wagonjwa kama ishara ya kuyapokea   magari manne ya wagonjwa kutoka kwa wahisani ambao ni Plan International na  Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Canada (CIDA) katika halfa iliyofanyika jana. Picha na Lorietha  Laurence- Maelezo. 

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages