|
Wema Sepetu |
Taarifa ilizopata theNkoromo Blog hivi punde zinasema, Mrembo na Mwigizaji Wema Sepetu amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kumjeruhi mtu katika tukio ambalo hata hivyo mtandao huu haukuweza kulidaka mara moja.
Mtoa taarifa amesema, Wema, anatarajiwa kufikishwa mahakamani asubuhi hii, Katika Mahakama ya Mwanzo ya Kawe kujibu mashitaka. Kwa habari zaidi za kina baadaye
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269