KLABU ya Simba imepanga kufanya mkutano wake mkuu wa mwaka wa wanachama Julai 20 mwaka huu.
Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Simba, Joseph Itang'are amesema kuwa, mkutano huo utafanyika kwenye Bwalo la Maofisa wa Polisi, Oysterbay, Dar es Salaam.
Itang'are, maarufu kwa jina la Kinesi alisema, uamuzi wa kuitisha mkutano huo tarehe hiyo, ulifikiwa katika >>Inaendelea BOFYA
Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Simba, Joseph Itang'are amesema kuwa, mkutano huo utafanyika kwenye Bwalo la Maofisa wa Polisi, Oysterbay, Dar es Salaam.
Itang'are, maarufu kwa jina la Kinesi alisema, uamuzi wa kuitisha mkutano huo tarehe hiyo, ulifikiwa katika >>Inaendelea BOFYA
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269