Breaking News

Your Ad Spot

Jul 3, 2013

PINDA AKUTANA NA MABALOZI WATEULE

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na mabalozi wateule watakaoiwakilisha Tanzani akatika mataifa mbalimbali.  Kutoka kushoto ni  Mbarouk  Nasoro Mbarouk (Umoja wa Falme za kiarabu _UAE), Modest Jonathan Maro Umoja wa matifa _Geneva) Wilson Masilingi  (Uholanzi), Liberata Mulamula (Marekani), Luteni Jenerali Mstaafu, Abdulrahman Shimbo (China), Chabaka Kilumanga (Comoro),  na Anthony Cheche  atakayekwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. (Picha na Ofisi ya waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages