Breaking News

Your Ad Spot

Jul 31, 2013

TCRA YAZINDUA KAMPENI YAKUHAMASISHA MATUMIZI MAZURI YA MAWASILIANO YA MAWASILIANO

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Nkoma akizungumza na wadau mbali mbali wa maswala ya habari hapa nchini wakiwemo wamililiki wa magazeti tando (Blogggers) juu ya kampeni mpya ya kuhamasisha matumizi mazuri ya Mitandao ya Mawasiliano hapa nchini, leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, Uliopo eneo la Sinza B,jijini Dar es Salaam. Kushoto ni  Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Nkoma akifafanua jambo zaidi.
Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy akifafanua jambo wakati wa Warsha ya siku moja kwa wadau mbali mbali wa maswala ya habari hapa nchini wakiwemo wamililiki wa magazeti tando (Blogggers) juu ya kampeni mpya ya kuhamasisha matumizi mazuri ya Mitandao ya Mawasiliano ,iliyofanyika leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania,Uliopo eneo la Sinza B,jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Nkoma akibonyeza kitufe kwenye Kompyuta ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa Wimbo wa kampeni mpya ya kuhamasisha matumizi mazuri ya Mitandao ya Mawasiliano hapa nchini.
Baadhi ya Washiriki wa Warsha hiyo kwa wadau mbali mbali wa maswala ya habari hapa nchini wakiwemo wamililiki wa magazeti tando (Blogggers) juu ya kampeni mpya ya kuhamasisha matumizi mazuri ya Mitandao ya Mawasiliano ,iliyofanyika leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania,Uliopo eneo la Sinza B,jijini Dar es Salaam.
Msanii wa Muziki wa Kiasili,Mrisho Mpoto akisisitiza jambo juu ya umuhimu wa Mawasiliano Mazuri ya Mitandao wakati wa Warsha ya siku moja kwa wadau mbali mbali wa maswala ya habari hapa nchini wakiwemo wamililiki wa magazeti tando (Blogggers) juu ya kampeni mpya ya kuhamasisha matumizi mazuri ya Mitandao ya Mawasiliano ,iliyofanyika leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania,Uliopo eneo la Sinza B,jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa Wamiliki wa Magazeti tando hapa nchini (Blogger), John Bukuku kutoka Full Shangwe Blog akitoa shukrani zake za dhati kwa TCRA ikiwa ni kwa niaba ya Bloggers Wengine baada ya kutambuliwa kuwa ni sehemu ya vyombo ya Habari hapa nchini. TAARIFA KAMILI ILIYOTOLEWA NA TCRA KWENYE UZINDUZI WA KAMPENI HIYO BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages