Breaking News

Your Ad Spot

Aug 31, 2013

WAJUMBE WA BARA WAENDA ZANZIBAR KWENYE BARAZA KUU LA UMOJA WA VIJANA WA CCM, TAIFA

 Baadhi ya wajumbe wakiwa Makao Makuu ya UVCCM, jijini Dar es Salaam, tayari kwa safari ya kwenda Zanzibar kwenye kikao cha Baraza Kuu ya Jumuia hiyo, kitakachofanyika kesho.
 Wajumbe wakiwa nje za jengo la Umoja wa Vijana wa CCM, mjini Dar es Salaam, kabla ya kuanza safari yao kwenda Zanzibar
 Baadhi ya wajumbe wakiwa Ofisi za UVCCM mjiniu Dar es Salaam, kabla ya kuondoka kwenda Zanzibar kwenye kikao hicho.
 Wajumbe wakiwa kwenye ofisi ya UVCCM makao makuu
Baadhi ya wajumbe wakipanda mabasi kutoka makao makuu ya UVCCM kwenda Bandarini kubanda boti kwenda Zanzibar kwenye kikao hicho cha Baraza Kuu la UVCCM leo
Baadhi ya wajumbe wakiwa bandari ya Dar es Salaam, kupanda boti
Wajumbe wakiwa kwenye boti mjini Dar es Salaam, tayari kwa safari ya Zanzibar
Wajumbe wakiwa kwenye boti yatari kwa safari ya Zanzibar. Imetayarishwa na theNkoromo Blog

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages