Breaking News

Your Ad Spot

Oct 1, 2013

WAZIRI MAKALA AKIWA AFRIKA KUSINI

 Naibu Waziri wa Vijana, Utamaduni na Michezo,  Ammos Makalla akiangalia mandhari ya mji wa Pretoria katika jengo la Union, kulia ni mwenyeji wake Naibu waziri ofisi ya Rais Uratibu, Bapela
 Ndugu Makalla akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kkusin Ndugu Radhia Msuya
Viongozi wa Taasisi ya Vijana Afrika Kusini, wakimsikiliza Ndugu Amos Makalla mjini Pretoria

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages