Waandishi wa habari wa zamani wa Uhuru Publications Ltd, Wachapishaji wa magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani Abihudi Saideya (kushoto) na Laudem Mwambona waakionyesha furaha walipokutana leo, kwenye ukumbi wa Uwanji, kwenye msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, katika wilaya ya Momba mkoani Mbeya. Wakati Saideya kwa sasa ni Mkuu wa wilaya ya Momba, Mwambona amehamia katika magazeti ya Mwananchi.
Your Ad Spot
Nov 28, 2013
Home
Unlabelled
WAANDISHI WA HABARI WA ZAMANI UHURU/MZALENDO WAKUMBUKA ENZI ZAO
WAANDISHI WA HABARI WA ZAMANI UHURU/MZALENDO WAKUMBUKA ENZI ZAO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269