Breaking News

Your Ad Spot

Nov 28, 2013

WAANDISHI WA HABARI WA ZAMANI UHURU/MZALENDO WAKUMBUKA ENZI ZAO

Waandishi wa habari wa zamani wa Uhuru Publications Ltd, Wachapishaji wa magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani Abihudi Saideya (kushoto) na Laudem Mwambona waakionyesha furaha walipokutana leo, kwenye ukumbi wa  Uwanji, kwenye msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, katika wilaya ya Momba mkoani Mbeya. Wakati Saideya kwa sasa ni Mkuu wa wilaya ya Momba, Mwambona amehamia katika magazeti ya Mwananchi.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages