Breaking News

Your Ad Spot

Dec 4, 2013

BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI NIGERIA DANIEL OLE NJOOLAY AMUAGA MAKAMU WA RAIS DK. BILAL

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na kumkaribisha Balozi mpya wa Tanzania  nchini Nigeri, Daniel Ole Njolay, wakati balozi huyo alipofika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo mchana kwa ajili ya kumuaga kabla ya kuondoka nchini kwenda kuanza kazi. Picha na OMR
Wakiwa na mazungumzo 

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages