Breaking News

Your Ad Spot

Dec 12, 2013

GERALD NGOWI ALIPOKULA NONDOZZ TOKA CHUO KIKUU MZUMBE TAR 6/12/2013

Mdau wa mtandao huu ndg gelard ngowi akipozi wakati wa mahafali ya chuo kikuu mzumbe akisubiri kutunukiwa nondoz yake katika maswala ya uhasibu na fedha ambapo alitunukiwa shahada ya kwanza( BA IN ACOUNTING AND FINANCE)
furaha ya kutunukiwa shahada zao wadau hawa wote wamebobea katika maswala ya uhasibu na fedha

Mdau gerald nowi akiwa na mdau ernest chimaguli baada ya kutunukiwa shahada zao toka chuo kikuu mzumbe mwishoni mwa wiki iliyopita
Gerald ngowi,harmestone njiro na ernest chimaguli wakipozi baada ya kutunukiwa shahada zao toka chuo kikuu mzumbe wakibobea katika uhasibu na fedha 
PICHA ZOTE NA MWANAHARAKATI MZALENDO BLOG

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages