Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (wapili kushoto), akisikiliza kero, aliokutana na wanafunzi kutoka vyuo vya elimu ya Juu, mjini Njombe mchana huu
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akizungumza na wananfunzi hao baada ya kueleza kero zao. wengine (walioipa mgongo kamera) ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Naoe Nnauye na katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Mbunge Mteule, Dk. Asha-Rose Migiro
Wanafunzi ukumbini wakimsikiliza Kinana
Your Ad Spot
Dec 7, 2013
Home
Unlabelled
KINANA AKUTANA NA WASOMI CCM VYUO VYA ELIMU YA JUU, NJOMBE
KINANA AKUTANA NA WASOMI CCM VYUO VYA ELIMU YA JUU, NJOMBE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot



No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269