Breaking News

Your Ad Spot

Dec 26, 2013

MWILI WA ALIYEKUWA KOCHA WA MAKIPA SIMBA, JAMES KISAKA WAAGWA LEO MUHIMBILI, KUZIKWA KESHO KIJIJINI KWAO LUSANGA, MUHEZA, TANGA

 Waombolezaji wakipakia kwenye basi la Simba, jeneza lenye kwenye mwili wa aliyekuwa Kocha wa Makipa wa timu hiyo, James Kisaka, baada ya kuuaga leo jioni kwenye Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam. Mwili huo unatarajiwa kusafirishwa kesho alfajiri kwenda Muheza mkoani Tanga kwa ajili ya mazishi yatakayofanyika saa saba, kijijini kwao Lusanga. Picha zaidi ingia ukursa wetu wa theNkoromo Sports au BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages