Rais Francois Hollande wa Ufaransa akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya
Mrisho Kikwete jijini Paris kwenye mkutano unaohimiza kukuza ushirikiano
wa kiuchumi kati ya Ufaransa na Afrika.Akizungumza katika mkutano huo
Rais Kikwete alisema kuwa mbali na kuwa bado bara la Afrika linahitaji
misaada ya uchumi nchi zilizoendelea lazima ziwekeze mitaji katika nchi za kiafrika.
Rais Francois Hollande wa Ufaransa akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya
Mrisho Kikwete jijini Paris kwenye mkutano unaohimiza kukuza ushirikiano
wa kiuchumi kati ya Ufaransa na Afrika.Akizungumza katika mkutano huo
Rais Kikwete alisema kuwa mbali na kuwa bado bara la Afrika linahitaji misaada ya uchumi nchi zilizoendelea lazima ziwekeze mitaji katika nchi za kiafrika.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Rais Francois Hollande wa Ufaransa, Rais
Allasane Ouatarra wa Ivory Coast na Rais Mac Sall wav Senegal wakiwa
katika mkutano wa ushirikiano wa kiuchumi kati ya Afrika na nchi za
kiafrika(picha na Freddy Maro)
Your Ad Spot
Dec 5, 2013
Home
Unlabelled
RAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA UHSIRIKIANO AFRIKA NA UFARANSA
RAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA UHSIRIKIANO AFRIKA NA UFARANSA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot



No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269