Breaking News

Your Ad Spot

Dec 25, 2013

ZAIDI YA 100 WAPATIKANA USAILI WA SHINDANO LA VIPAJI KWA WATOTO LA 'MO KIDS GOT TALENT 2013'

DSC_1678 (2)
Chief Judge wa Shindano la "MO Kids Got Talent", Salma Mziray, akitoa maoni yake kwa baadhi ya washiriki wa usaili wa shindano hilo uliofanyika kwenye hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach jijini Dar es Salaam. Kulia ni Jaji Neema Theobald na kushoto ni msanii wa filamu nchini Hidaya Njaidi wakiwa meza kuu.
DSC_1672
Pichani juu na chini ni baadhi ya washiriki wakionyesha vipaji vyao mbele ya majaji.
DSC_1705
Binti huyu kipaji chake ilikuwa ni kuimba taarab.
DSC_1785
Mambo ya Alingo nayo yalihusika.
DSC_1797
DSC_1745
DSC_1768
Hapo sasa twende kazi.....!!!
A04A7088
Majaji wa shindano la "MO Kids Got Talent" wakishuhudia kipaji cha mmoja wa watoto wanaojua kuogelea akijitosa kwenye bwawa la kuogelea lililopo Ledger Plaza Bahari Beach jijini Dar.
A04A7095
Chief Judge, Salma Mziray, akizungumza na mmoja wa washiriki kabla ya kuonyesha kipaji chake.
DSC_1773
Pichani juu na chini ni baadhi ya watoto walioshiriki usaili huo hawakuondoka mikono mitupu walipewa zawadi ya madaftari pamoja na sabuni ya Unga ya kufulia MO Detergent.
DSC_1692 (2)
DSC_1756
DSC_1788
DSC_1802
DSC_1726
A04A7120
Meneja Mkuu Ledger Plaza Bahari Beach, Wissem Souifi (kulia) pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Fros Africa, Bw. Peter Sekasiko (katikati) wakijumuika na wazazi pamoja na familia zao kwenye fukwe za hoteli ya Ledger Plaza, Bahari Beach jijini Dar leo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages