Moto unaodaiwa kusababishwa na shoti ya umeme ukiwaka kwenye nyumba za wakazi wa mji wa Shumba mjini Pemba. Moto huo unaoendelea kuzimwa hadi sasa unadaiwa kusababisha familia kadhaa kukosa mahali pa kuishi. Habari za mwanamtandao Ebeneza Mende aliyetutumnia picha hii zimesema moto ulianza saa tano na nusu
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269