Breaking News

Your Ad Spot

Feb 6, 2014

JUMA NKAMIA; KUTOKA UTANGAZAJI HADI NAIBU WAZIRI

Ni siku chache tangu Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amuapishe Juma Nkamia kuitumika Serikali yake katika nafasi ya Unaibu Waziri, katika Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, moja ya wizara ambazo ni nyeti na kutokana na kuwa mtambuka katika masuala mengi hasa ya michezo na Maendeleo ya Vijana.

Kwa taaluma, Naibu Waziri Nkamia (Pichani) ni mwanahabari ambaye amesomea na kufanya kazi ya habari kwa kipindi kirefu kabla....Inaendelea>BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages