Breaking News

Your Ad Spot

Feb 26, 2014

NAPE AWAPOKEA RASMI MADIWANI WA CHADEMA WALIOHAMIA CCM, SHINYANGA MJINI

 WALIOKUWA Madiwani katika kata mbili tofauti kwa tiketi ya Chadema, Zakaria Mfuko (kushoto), aliyekuwa Diwani wa Kata ya Masekelo na Sebastian Peter (kulia) aliyekuwa diwani Kata ya Ingokole wakitambulishwa na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, baada ya madiwani hao kutangaza kuhamia CCM, katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo, kwenye  Viwanja vya Mahakama ya Mwanzo, wilaya ya  Shinyanga mjini.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages