Breaking News

Your Ad Spot

Mar 15, 2014

CCM YAFUNGA KAMPENI ZAKE KWA KISHINDO KALENGA

Wananchi wakiwa wamembeba kwa furaha mgombea wa Ubunge jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini, kwa tiketi ya CCM, Godfrey Mgimwa, wakati wa mkutano wa kufunga kampeni uliofanywa na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana na kuhudhuriwa na maelfu ya wananchi, kwenye Uwanja wa Mnada, Kijiji cha Kidamali, Kata ya Nzihi, leo
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, Naibu Katibu Mkuu (Bara) Mwigulu Nchemba na Mgombea wa CCM jimbo la Kalenga, Godfrey Mgimwa wakisalimia wananchi baada ya kuwasili kwenye mkutano huo.
Kinana na Mgimwa (kulia) wakisalimia wananchi baada ya kuwasili Uwanjani
Mwigulu akihutubia kwenye mkutano huo wa kufunga kampeni
Kinana akimnadi Mgimwa kwenye mkutano huo wa kufunga kampeni
Wananchi waliofurika kwenye mkutano huo wakinyoosha mikono kuahidi kumchagua Mgimwa  kesho
Mgimwa akihutubia maelfu ya wananchi kwenye mkutano huo wa kufunga kampeni
Mgimwa akiionyesha hadhara mkewe Robi, kwenye mkutano huo wa kufunga kampeni za CCM. Picha zote na Bashir Nkoromo wa CCM Blog

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages