Breaking News

Your Ad Spot

Apr 1, 2014

RAIS KIKWETE AZUNGUMZA NA MAMIA YA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA


 Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mamia ya Watanzania waishio Uingereza alipokutana nao usiku wa Machi 30, 2014 katika ukumbi wa Sattavis Patidar Centre, Wembley, London, Rais yupo katika ziara ya kiserikali ya  siku tatu kwa mwaliko wa Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages