Waziri
wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda (kulia) akisalimiana na
Meneja wa Tawi la Benki ya Exim Tanga Bw. Deogratius Makwaia (wa kwanza
kushoto) alipotembelea banda la benki hiyo wakati wa maonyesho ya
biashara ya Kimataifa yaliyofanyika mkoani Tanga hivi karibuni katika
viwanja vya Tongamano. Wapili kushoto ni Afisa Mauzo wa Benki ya Exim
Martin Temu.
Meneja
wa Tawi la Benki ya Exim Tanga Bw. Deogratius Makwaia (wa kwanza
kushoto) akimpa maelezo juu ya huduma za benki Waziri wa Viwanda na
Biashara, Dk. Abdallah Kigoda (kulia) huku alisalimiana na afisa mauzo
wa benki hiyo Martin Temu (wapili kushoto) alipotembelea banda la benki
hiyo wakati wa maonyesho ya biashara ya Kimataifa yaliyofanyika mkoani
Tanga hivi karibuni katika viwanja vya Tongamano.
Meneja
wa Tawi la Benki ya Exim Tanga Bw. Deogratius Makwaia (wa pili kushoto)
akimpa maelezo juu ya huduma za benki Waziri wa Viwanda na Biashara,
Dk. Abdallah Kigoda (kulia) alipotembelea banda la benki hiyo wakati wa
maonyesho ya biashara ya Kimataifa yaliyofanyika mkoani Tanga hivi
karibuni katika viwanja vya Tongamano. Wa kwanza kushoto ni Afisa Masoko
wa Benki ya Exim Fatma Kilinda na wa tatu kushoto ni afisa mauzo wa
benki hiyo Martin Temu
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269