Breaking News

Your Ad Spot

May 30, 2014

MIILI YA RECHO NA MWANAE YAWASILI LEADERS KUAGWA

Majeneza yenye miili ya Recho na mwanaye.
Miili ya Rachel Haule 'Recho' na mwanaye ikishushwa kwenye gari maalum baada ya kuwasili Viwanja vya Leaders ikitokea nyumbani Palestina, Dar tayari kwa kuagwa.

Wasanii wakiongoza msafara kuelekea eneo maalum la kuaga miili hiyo ndani ya Viwanja vya Leaders.
Waombolezaji wakiwa na simanzi baada ya mwili kuwasili Leaders.
Majeneza yenye miili ya msanii Recho na mwanaye yakipelekwa eneo maalum kwa ajili ya kuagwa.
Wasanii wakiwa tayari kuaga mwili wa mwenzao.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages