Kamishna Jenerali wa Magereza John Minja (kushoto) na Bw.
Daud Msangi Mkurugenzi Mkuu wa GEPF (kulia) wakisaini Mkataba wa
Uwekezaji baina ya Taasisi hizo mbili leo Alhamis 29 Mei, 2014 katika
Ukumbi wa Mikutano wa Magereza, Jijini Dar es salaam.
Mkuu wa Shirika la Magereza ( Prisons Corporation Sole)
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza (SACP) John Masunga (kushoto)
pamoja na Mwanasheria wa GEPF Anna Shayo (kulia) wakisaini nyaraka
muhimu za makubaliano ya uwezekaji kati ya Magereza na GEPF).
Kamishna Jenerali wa Magereza John Minja (kushoto) na Bw.
Daud Msangi Mkurugenzi Mkuu wa GEPF (kulia) wakikabidhiana nyaraka za
makubaliano ya uwekezaji baada ya kutiwa sahini.leo Alhamis 29 Mei, 2014
katika Ukumbi wa Mikutano wa Magereza, Jijini Dar es salaam
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269