
Flora akiwa na mumewe,Emmanuel Mbasha.
----
Emmanuel Mbasha, ambaye ni mume wa mwimbaji
nguli wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha amejitokeza hadharani na kusema
kwamba atakwenda polisi mwenyewe kujibu tuhuma dhidi yake za kumbaka
shemeji yake mwenye umri wa miaka 17.
HUO SIO UKWELI NI VISINGIZIO VYA FLORA MBASHA.ATAKUWA AMEPATA CHOMBO KINGINE
ReplyDelete