Breaking News

Your Ad Spot

Jun 24, 2014

MAKAMAU MWENYEKITI WA CCM TAIFA AFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA RAIS WA CHINA, JIJINI DAR ES SALAAM, LEO

 Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula (kushoto) akiwa katika mazungumzo na Makamu wa Rais wa China Li Yuanchao (kulia), leo katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, Makamu huyo wa Rais yupo nchini kwa ziara ya kikazi.
 Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula (kulia) akisisitiza jambo wakati wa  mazungumzo yake na Makamu wa Rais wa China Li Yuanchao, leo jijini Dar es Salaam.
 Mangula akipa zawadi maalum ya ukumbusho, Makamu huyo wa Rais wa China baada ya mazungumzo yao leo jijini Dar es Salaam.
 Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula na Makamu wa Rais wa China na ujumbe wao wakiwa wamesimama tayari kuondoka ukumbini baada ya mazungumzo yao leo jijini Dar es Salaam.
 Upande wa ujumbe wa CCM wakati wa mazungumzo hayo
 Ujumbe wa China kwenye mazungumzo hayo
Mwandishi wa habari wa siku nyingi na mchambuzi wa masuala ya siasa na Uchumi, Makwaia Kuhenga (kulia) akijadili jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar) Vuai Ali Vuai na Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania Abdallah Bulembo wakati wa mazungumzo ya Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara ) Philip Mangula na Makamu wa Rais wa China jijini Dar es Salaam, leo. Aliyeketi kushoto ni Mtaalamu wa ,masuala ya Sayansi ya Jamii, Profesa Max Mmuya. Picha zote na Bashir Nkoromo-CCM Blog

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages