Mwenyekiti
wa Bongo Muvi, Steve Nyerere, akiwasili katika Hospitali ya Kairuki
kusubiri mwili wa marehemu. Steve alivalia tisheti yenye ujumbe 'Why
always me'.
Mwenyekiti
wa Bongo Muvi, Steve Nyerere, akiwasili katika Hospitali ya Kairuki
kusubiri mwili wa marehemu. Steve alivalia tisheti yenye ujumbe 'Why
always me'.
Ni majonzi kwa kila mmoja aliyefika kuusubiri mwili wa marehemu Tyson Hospitali ya Kairuki, Mikocheni, Dar.
Msanii wa filamu za Kibongo, Kelvin akihojiwa kuhusu alivyopokea taarifa za kifo cha mwongozaji filamu, George Tyson.
Mtangazaji wa Kipindi cha Wanawake Live kinachoruka kwenye runinga ya EATV, Joyce Kiria akilia kwa uchungu.
(PICHA ZOTE: RICHARD BUKOS NA ISSA MNALLY / GPL
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269