Breaking News

Your Ad Spot

Jun 2, 2014

Ngoma Africa Band Kutumbuiza siku ya kitaifa ya Wakameruni mjini Dortmund,Ujerumani

NGOMA AFRICA BAND AKA FFU KUTUMBUIZA SIKU YA CAMEROON CHALLENGE ,DORTMUND UJERUMANI SIKU YA JUMAMOSI 7.JUNI 2014

WAKAMERUNI ZAIDI YA 20,000 USO KWA USO NA FFU-UGHAIBUNI !
Dortmund,Ujeruni,


Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka "FFU-Ughaibuni, 
ukipenda waite viumbe wa ajabu "Anunnaki" au " watoto wa mb..wa" yenye makao kule 
ujerumani, bendi hiyo inatarajiwa kutumbuiza katika siku maalumu ya taifa ya kameruni, 
katika onyesho la "Cameroon Challenge" siku ya jumamosi kuanzia saa 11 jioni, mjini 
Dortumund,Ujerumani.

Ngoma Africa band imealikwa na umoja wa wakameruni ughaibuni,ambao ndio wandaaji 
wa onyesho hilo la wazi, wakameruni takribani 20,000 waishio ujerumani watachanganyikana wadau wa mataifa mengine kusakata muziki wa Ngoma Africa band,muziki ambao 
wapenzi wa bendi hiyo wanaufananisha sawa na gwaride la FFU.
wasilike FFU Ughaibuni at www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages