Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na familia ya Waziri wa
Nishati na Madini Profesa Peter Muhongo (hayupo pichani) baada ya Bunge
kupitisha bajeti ya Wizara hiyo mjini Dodoma Mei 30, 2014. Wapili kulia
ni Mke wa Waziri huyo, Bertha Mamuya na wengine ni mabinti wa Waziri ,
Nyasige Sospeter (kushoto) na Bertha Kimariyo .
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo(kulia) na mkewe,
Bertha Mamuya (kushoto) baada ya Bajeti ya Wizara hiyo kupitishwa na
Bunge Mjini Dodoma, Mei 30, 2014.Wengi ni Mabinti wa Waziri
huyo,Bertha Kimariyo (wapili kushoto) na Nyasige Peter.Picha na ofisi
ya Waziri Mkuu
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269