Breaking News

Your Ad Spot

Jun 25, 2014

WABUNGE WAPATA SEMINA YA ITIFAKI YA UMOJA WA FEDHA WA JUMUIA YA AFRIKA MASHARIKI

 Mgeni rasmi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwezeshaji wa Uchumi Dkt. Mary Nagu akifungua semina ya Wabunge kuhusu Itifaki ya Umoja wa Fedha wa Jumuiya ya Afrika Mashariki jana katika ukumbi wa Bunge wa Msekwa mjini Dodoma. Kulia ni Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum.
 Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akisisitiza umuhimu wa Itifaki ya Umoja wa Fedha wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa Wabunge katika semina iliyofanyika jana ukumbi wa Bunge wa Msekwa mjini Dodoma.
Mkurugenzi Msaidizi Sekta za Uzalishaji Wizara ya Afika Mashariki Dkt. Abdula Makame akiwaeleza Wabunge umuhimu wa Itifaki ya Umoja wa Fedha wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakati wa semina iliyofanyika jana katika ukumbi wa Bunge wa Msekwa mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages