Breaking News

Your Ad Spot

Jun 21, 2014

WAANDISHI WA HABARI WA MKOA WA NJOMBE WAKABIDHIWA VYETI VYA USHIRIKI WA MAFUNZO YALIYOTOLEWA NA MCT

Katibu wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Njombe Hamis Kassapa akipokea cheti cha kushiriki mafunzo yaliyotolewa na baraza la habari Tanzania MCT kwa waandishi wa habari wa mkoa huo jana Juni 19, 2014
Mtangazaji wa Uplands Fm Zenobia Mtei akipokea cheti chake kutoka kwa wawakilishi wa MCT
David Jothamson kutoka Kings FM ya Njombe akipokea cheti chake cha kushiriki mafunzo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages