Breaking News

Your Ad Spot

Jul 12, 2014

BALOZI MERO AWAANDALIA FUTARI WATANZANIA GENEVA

Balozi wa Tanzania katika Mashirika ya Umoja wa Mataifa, Geneva,  Mhe.  Modest Mero (kanzu jeupe) akila futari pamoja na wageni wake mbalimbali wakiwepo watanzania waishio Geneva katika futari maalum aliyowaandalia nyumbani kwake jana. 
wageni mbalimbali wakijipakulia futari hiyo katika makazi ya Balozi
Wakina mama nao wakila futari hiyo iliyoandaliwa na Balozi pamoja na familia yake katika makazi yao mjini Geneva.
Picha cha mbalimbali za kumbukumbu na wageni waalikwa katika futari hiyo zilipigwa. Picha ya Mwisho ni Balozi Mero akiwa na mkewe na binti yao ambao ndio walikuwa waandazi wa futari hiyo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages