Breaking News

Your Ad Spot

Jul 26, 2014

EDWARD LOWASSA AFUTURISHA MONDULI

Mbunge wa jimbo la Monduli, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akizungunza na waumi wa dini ya kiislam (hawapo pichani), katika hafla aliyofuturisha katika Msikiti Mkuu wa Monduli mjini.
 Shekh wa Wilaya ya Monduli Shekh Mwinshehe Mwinyi akizungumza na waumini wakati wa futari iliyoandaliwa na Lowassa.
 Baadhi ya waumini wakipata futari iliyoandaliwa na Mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa.
 Mke wa mbunge wa jimbo la monduli Regina Lowassa akizungumza katika ghafla ya futari  iliyoandaliwa na mbunge wa jimbo hilo Edward Lowassa iliyofanyika katika msikiti wa monduli.
 Mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa akiwa na Shekh wa Wilaya ya Monduli Shekh Mwinshehe Mwinyi wakati wa futari aliyoiandaa kwa ajili ya waumini wa dini ya kiisalamu wilaya Monduli.
 Shekh wa Wilaya ya Monduli Shekh Mwinshehe Mwinyi akizungumza na waumini wakati wa futari iliyoandaliwa na Mh. Lowassa.
 Waumini wakipata fuatari.
 Meza Kuu wakipata futari.
 Waumini wakipata futari iliyoandaliwa na mbunge wa jimbo laMonduli Mh. Lowassa.
 Mke wa mbunge wa jimbo la Monduli, Regina Lowassa akizungumza katika hafla ya futari  iliyoandaliwa na mbunge wa jimbo hilo Edward Lowassa iliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Monduli.
 Mbunge wa viti maalum CCM mkoa wa Arusha, Namelock Sokoine akizungumza katika hafla ya futari iliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Monduli.
 Mbunge wa viti maalum CCM mkoa wa Arusha Namelock Sokoine akiwa na mke wa Lowassa katika hafla ya futari iliyofanyika katika Msikiti wa Monduli..

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages