Katibu Mkuu wa
CCM, Abdulrahman Kinana (wapili kulia) akishiriki uandaji mahindi katika shamba la mjasiriamali wa Kijiji cha
Kwemnyefu aktika kata ya Mpapayu, akiwa katika ziara ya kukagua na khimiza utekelezaji wa ilani ya CCM katika wilaya ya Muheza mkoani Tanga, Oktoba 1, 2014. Kushoto ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi
Nape Nnauye wakiongozana na vijana kutoka shambani baada ya kumaliza
kupanda mahindi katika shamaba hilo
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza jambo mbele ya diwani
wa kata ya Mpapayuu Richard Semgalawe mara baada ya kumaliza kulima
ambapo aliwataka viongozi wa kijiji waache kuuza maeneo ya wanakijiji
yaliyotengwa kwa ajili ya shughuli za kilimo.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akikabidhi kadi kwa .Halima Kibwana wa kata ya Kilulu wilayani Muheza.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa ofisi ya CCM kata ya Kilulu wilayani Muheza.
Wanachama
na wapenzi wa CCM wakiwa wamejipanga barabarani kumkaribisha Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kufungua shina la wakereketwa la
Vijana wajasiriamali wa kata ya Kwemuyu.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wa kata
ya Songa wakati alipotembelea kituo cha Habari za kilimo Songa ambapo
aliwaambia wananchi hao kuwa kilimo kimekuwa na kuongezeka na tatizo
kubwa lililopo sasa ni masoko kwa mazao,Kituo hicho cha habari
kitasaidia wananchi zaidi ya 26000 kwa mwaka.
Kisamvu kikiwa kimestawi vizuri nje ya kituo cha Habari za Kilimo kata ya Songa
Katibu
Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akisomewa na Dk.Hilda Ponera
taarifa za maendeleo ya uboreshwaji wa kituo cha afya cha Ubwari ambacho
kipo kwenye utaratibu wa kupandishwa na kuwa hospitali ya wilaya.
Wodi mpya ya Wagonjwa katika kituo cha afya cha Ubwari
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipewa maelezo ya uboreshaji wa
kituo cha Afya cha Ubwari kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri Ndugu
Ibrahimu Matovu.
MNEC
wa wilaya ya Muheza Mh.Laicky S. Gugu akisalimia wananchi walifurika
kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Jitegemee
wilayani Muheza mkoa wa Tanga.
Katibu
wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Muheza kwenye
mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Jitegemee ambapo
aliwaambia Vijana wajitokeze kwa wingi kwenye nafasi mbali mbali za
uongozi kwenye chaguzi zinazofuata .
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutbia wakazi wa Muheza kwenye
uwanja wa Jitegemee ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa kesi za masuala
ya ardhi zinachukua muda mrefu sana kiasi cha kuchelewesha ufanikishaji
wa maendeleo hivyo na kuzitaka mahakama za ardhi kushughulikia mapema.
Mwenyekiti
wa Halmashauri ya wilaya ya Muheza, Amri Kiroboti akitoa taarifa
ya maendeleo ya utekelezaji wa miradi mbali mbali ikiwemo ya maji na
umeme.
Wananchi
wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipokuwa
akihutubia kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya
Jitegemee.
Ibrahim Mohamed almaarufu Ban Ki Moon akiuliza swali kuhusu kufungwa na kuondolewa gulio la Alhamis na Jumapili Muheza mjin
Your Ad Spot
Oct 1, 2014
Home
Unlabelled
KINANA AFANYA MAKUBWA MUHEZA, YEYE NA NAPE WASHIRIKI KULIMA SHAMBA LA MJASIRIAMALI
KINANA AFANYA MAKUBWA MUHEZA, YEYE NA NAPE WASHIRIKI KULIMA SHAMBA LA MJASIRIAMALI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269